MEMBE AKANUSHA TAARIFA ZA KUJIUNGA NA CHADEMA

    >Kupitia kwenye ukurasa wake wa Twitter mgombea uraisi kupitia tiketi ya chama Cha ACT WAZALENDO Mh Bernard Membe amekanusha uvumi wa Taarifa zinazo sambaa kuwa amejiunga na chama Cha CHADEMA katika kuwania uraisi 

Mimi ndiyo Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT- Wazalendo. Mimi ndiye niliyekabidhiwa Ilani ya Chama hicho kuinadi kote nchini kwenye uchaguzi huu. Taarifa zinazosambaa kuwa tayari tumejiunga na Chadema katika ngazi ya Urais siyo za kweli

Comments