MO AKUTANA NA SHABIKI WA SIMBA ALIYE CHANIWA JEZI

 

  Maneno ya @moodewji baada ya kukutana na shabiki wa Simba Kindio Hassan aliye pigwa na kuchaniwa jezi katika kuadhimisha kilele Cha siku ya mwananchi 

.

Nimefurahi kukutana na wewe leo Bw. Kindio Hassan. Pole sana na changamoto uliokutana nayo. #MpiraNiUmoja! 🦁 #drixnews

Comments